Tel: +254 711 851103
 
 
Language:

Google Translate Widget by Infofru

Author Site Reviewresults

Sunday, 28 July 2024

MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA

RUWAZA: Kurahisisha Upataji Wa Huduma na Raslimali

DHAMIRA: Kuunda, kusimamia na kutunza barabara za Serikali Kuu za Kisekondari

MAADILI KUU

  • Utawala bora
  • Utaalamu
  • Uzinduzi
  • Uadilifu
  • Usawa
  • Utendakazi kwa pamoja
  • Ushirikiano

 

MWITO: Kuunganisha Magatuzi za Kenya

     Na.

HUDUMA

YANAYOHITAJIKA/MAJUKUMU YA WASHIKA DAU

ADA

MUDA WA KUHUDUMIWA

1.         

Kuhudumia Wateja

Ungwana na uwazi

Hailipishwi

Ndani ya Dakika Kumi (10)

2.         

lalamishi na Maswali

1.  Ukweli na Uadilifu

2.  Kutumia njia rasmi ikijumuisha:

·    Kuja Kibinafsi

·    Kutumia Simu

·    Barua au Barua pepe

·    Sanduku za Maoni

Hailipishwi

Kututembelea Kibinafsi

Dakika Kumi (10)

Barua

Siku 21

Barua pepe

Siku Tatu (3)

Ukaguzi wa Miradi

Siku Kumi (10)

Kazi za Dharura

Masaa 48 (Haitazidi Siku 14)

3.         

Ununuzi wa Bidhaa na Huduma

1.  Uhakikisho wa Kusajiliwa panapohitajika

2.  Kununua stakabadhi zilizohitajika

3.  Kufuata matakwa ya kikandarasi

4.  Kupeana maoni ya ukweli na kwa wakati unaofaa

5.  Kutii sharia na kanuni zote zinazohusika

Kulingana na matangazo

Kulingana na Sheria Rasmi ya Ununuzi wa Mwaka 2015 na Kanuni Zake Zote

4.         

Upangaji wa Mikakakati ya Barabara

1. Kushiriki kwa umma katika vikao maalum vya kutoa maoni  

2. Ushirikiano

3. Maoni ya baadaye

Ulipaji Ushuru

Mipango ya Kimkakati

Miaka Mitano (5)

Mipango ya Kila Mwaka

Miezi sita (6) kabla ya mwisho wa mwaka

Miundo na Michoro ya Barabara

Miezi Sita

Ufuatiliaji na Tathmini

Kila Miaka Miwili

5.         

Ujenzi wa Barabara

1. Kushiriki kwa umma katika vikao maalum vya kutoa maoni  

2. Ushirikiano

3. Maoni ya baadaye

Ulipaji Ushuru

Kuundwa kwa Barabara Mpya

Kulingana na Kandarasi

Kazi za Kidharura

Siku Sitini (60)

Notisi za Umma

Siku Tatu (3)

6.         

Utunzi na Ukarabati wa Barabara

1. Kushiriki kwa umma katika vikao maalum vya kutoa maoni  

2. Ushirikiano

3. Maoni ya baadaye

Tumejitolea kutoa huduma kwa heshima na ubora. Kwa Malalamiko, ombi au maoni  kuhusu huduma na bidhaa zetu, piga ripoti kupitia;

 

Ulipaji Ushuru

Mpangilio wa Kuunda Barabara  Kila Mwaka

Miezi sita (6) kabla ya mwisho wa mwaka

Ukarabati wa Barabara

Kulingana na Kandarasi

Kazi za Kidesturi

Kila Mwaka

7.         

Ruhusa ya ujenzi kwa hifadhi ya barabara

Siku Thelathini (30)

8.         

Malipo ya Bidhaa na Huduma

Kutoa stakabadhi zinazohusika kama vile:

·    Fomu iliyo na taarifa ya Benki  ( Fomu ya KeRRA BD 1))

·    Agizo la Huduma au Ununuzi

·    Ankara/ invoisi

·    Vidokezo vya Uwasilishaji

·    Vyeti sahihi vya malipo yaliyosainiwa

·    Rekodi za upimaji

Hailipishwi

Kazi za Barabara

Kulingana na Kandarasi

Huduma za Ushauri wa Kiutalamu

Kulingana na Kandarasi

Bidhaa na Huduma zinginezo

Siku Thelathini (30)

9.         

Kuajiri

1.  Barua ya maombi

2.  Mahitaji yanayolingana na Matangazo

Hailipishwi

Miezi Mitatu (3)

10.      

Kazi Tarajali

1.  Barua rasmi kutoka shule yako

2.  Barua ya Maombi

3.  Wasifu wako

4.  Jalada la Bima la Kuhusu Fidia

Hailipishwi

Miezi Mitatu (3)

11.      

Kutoa Habari na Taarifa za Umma

1. Ukweli na Uadilifu

2. Toa Malipo Ikiwa  Yataitajika

3.  Kutumia njia rasmi ikijumuisha:

·    Kuja Kibinafsi

·    Kutumia Simu

·    Barua au Barua pepe

·    Sanduku za Maoni

Kulingana na Sheria ya Utoaji Habari na Taarifa kwa Umma

Kututembelea Kibinafsi

Dakika Kumi (10)

Barua

Siku 21

Barua pepe

Siku Tatu (3)

Ukaguzi wa Miradi

Siku Kumi (10)

Ombi la Dharura

Masaa 48 (Haitazidi Siku 14)

                    

Tumejitolea kutoa huduma kwa heshima na ubora. Kwa Malalamiko, ombi au maoni  kuhusu huduma na bidhaa zetu, piga ripoti kupitia;

 

MAHALI PETU PA OFISI:

Almashauri ya Barabara ya Mashinani,

Barabara Plaza-Block B, Barabara ya Aiport South Road

Ikipakana na Barabara ya Mombasa Road, Kenya.

ANWANI ZETU:

S. L. Posta 48151-00100 Nairobi, Kenya.

Simu: (20)7807600-605 AU +254 724735568

Anwani ya barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Tovuti Yetu: www.kerra.go.ke

AU

Tembelea Ofisi Zetu Zilizo Karibu Nawe Kote Nchini

 

TUME YA USIMAMIZI WA HAKI NA MALALAMISHI YA UMMA (CAJ):

S. L. Posta 20414-00200 Nairobi,Kenya.

Simu: +254(20)2270000/2303000/263765/8030666

Anwani ya barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Tovuti: www.ombudsman.go.ke

Anani ya Twitter: @kenyasombudsman na Facebook: Ombudsman Kenya  

 

 

Contact Us

Our Head Office

Kenya Rural Roads Authority,
Barabara Plaza, Block B
Airport South Road, Opp. KCAA
P.o. Box 48151-00100,
Nairobi. Kenya

Email: dg@kerra.go.ke 
Tel: 020-7807600 (01-05)
Mobile: +254 711 851103

**All email Communication to be channelled through the email dg@kerra.go.ke ** 

 

Copyright © 2024 Kenya Rural Roads Authority (KeRRA is ISO 9001:2008 Certified). All Rights Reserved.
Joomla! is Free Software released under the GNU General Public License.